Kazi imeanza
Mchezo umeanza kwa kasi dakika 5 zilizopita, Coastal wamefika langoni mwa Yanga dakika ya kwanza ya mchezo, lakini shamulizi lao limekuwa butu.
Juma Abdul yuko chini baada ya kugongana na Uhuru Selemani, lakini anaelekea kuendelea na mchezo.
.png)
By
16:39
0 comments