Open top menu
Alhamisi, 23 Januari 2014

Mshambuliaji wa timu ya Monaco na Colombia, Radamel Falcao atazikosa fainali la Kombe la Dunia kutokana na kuwa majeruhi baada ya kuumia kifundo cha mguu.

Klabu ya Monaco imethibitisha kuwa mshambuliaji wao atakuwa nje kwa miezi sita, daktari wa timu hiyo, Jose Carlos Norona amethibitisha kuwa nyota huyo atazikosa fainali hizo ziutakazofanyika nchini Brazil mwezi wa Mei mwaka huu.


Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments