Mshambuliaji wa timu ya Monaco na Colombia, Radamel
Falcao atazikosa fainali la Kombe la Dunia kutokana na kuwa majeruhi baada ya
kuumia kifundo cha mguu.
Klabu ya Monaco imethibitisha kuwa mshambuliaji wao
atakuwa nje kwa miezi sita, daktari wa timu hiyo, Jose Carlos Norona amethibitisha
kuwa nyota huyo atazikosa fainali hizo ziutakazofanyika nchini Brazil mwezi wa
Mei mwaka huu.
0 comments