Open top menu
Jumanne, 1 Oktoba 2013


MKONGWE wa katika mchezo wa gofu, Tiger Woods ametangazwa kuwa mchezaji bora wa mchezo huo kwa mwaka 2013 ikiwa ni mara yake ya 11 kutwaa tuzo hiyo.

Wakati Woods akitawazwa kuwa mchezaji bora, Jordan Spieth naye amechaguliwa kuwa mchezaji bora kijana anayechipukia katika mchezo huo.

Woods, 37, amefanikiwa kushinda tuzo hiyo baada ya kushinda mataji matano katika mashindano 11 aliyoshiriki ndani ya mwaka huu, wakati Spieth, 19, amekuwa mchezaji chipukizi mwenye mafanikio kwa mwaka huu.

Mwaka huu umekuwa wa mafanikio kwa Woods kwani amefanikiwa kurudi katika namba moja baada ya kumbwaga aliyekuwa kileleni Rory McIlroy.

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments