Open top menu
Jumanne, 1 Oktoba 2013


BINGWA mtetezi wa michuano ya tenisi ya wazi ya China, Victoria Azarenka amevuliwa ubingwa wake katia raundi ya kwanza baada ya kutandikwa na mcheza tenisi namba 43 kwa ubora dunianio, Andrea Petkovic wa Ujerumani.

Mchezaji huyo ambaye anashikiria namba mbili kwa ubora duniani, alipoteza ubingwa wake baada ya kufungwa kwa 6-4 2-6 6-4 katika mechi ambayo ilicchukua masaa mawili na dakika 22.

Victoria ambaye alikuwa na kazi ngumu katika mchezo huo kuokoa mipira ya mpinzani lakini pia hakuwa vizuri kwani alipoteza mipiora 44 katika mchezo huo na kusababisha kupoteza ubingwa wake katika hatua ya mwanzo kabisa.

“Huu ulikuwa mchezo wangu mbaya sana na nimeonyesha kiwango cha chini sana,” alisema Victoria baada ya mchezo huo.

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments