Washiriki wa shindano la Kigoli 2013 wakishambulia jukwaa mmoja mmoja katika fainali hizo zilizofanyika jana katika Hoteli ya Travertine jana usiku
 Mwaandaji wa shindano la Kigoli 2013 na Jaji Mkuu wa shindano hilo, Maimatha wa Jesse akicheza wimbo wa My No One wa Diamond katika fainali hizo
 Msanii wa kizazi kipya, Dyna alikuwepo kutumbuiza katika fainali hizo, hapa akiimba sambamba na shabiki wake
Waimbaji wa Jahazi wakiburudisha  
Kundi la muziki wa dansi la Kalunde Band walikuwepo kusindikiza fainali hizo
Kivazi hiki kilichovaliwa na mmoja wa washiriki wa shindano hilo kilizua balaa ukumbini 
Mzee Yusuph akiwapagawisha mashabiki 
 Mkoko ulioshindaniwa aina ya Nissani March wenye thamani ya Sh 9 milioni
.png)
 By 
18:35






















Big up sana Maimatha wa Jesse!
JibuFuta