Open top menu
Jumatatu, 30 Septemba 2013

 Washiriki wa shindano la Kigoli 2013 wakishambulia jukwaa mmoja mmoja katika fainali hizo zilizofanyika jana katika Hoteli ya Travertine jana usiku





 Mwaandaji wa shindano la Kigoli 2013 na Jaji Mkuu wa shindano hilo, Maimatha wa Jesse akicheza wimbo wa My No One wa Diamond katika fainali hizo

 Msanii wa kizazi kipya, Dyna alikuwepo kutumbuiza katika fainali hizo, hapa akiimba sambamba na shabiki wake




Waimbaji wa Jahazi wakiburudisha 
Kundi la muziki wa dansi la Kalunde Band walikuwepo kusindikiza fainali hizo
Kivazi hiki kilichovaliwa na mmoja wa washiriki wa shindano hilo kilizua balaa ukumbini
Mzee Yusuph akiwapagawisha mashabiki
 Mkoko ulioshindaniwa aina ya Nissani March wenye thamani ya Sh 9 milioni




Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

Maoni 1 :