Open top menu
Jumatano, 1 Januari 2014

TIMU ya Manchester City imefanikiwa kuishusha kileleni Arsenal baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Swansea katika mchezo mgumu uliomalizika muda mfupi uliopita.

Man City imekaa kileleni baada ya kujikusanyia pointi 44 na kuiacha kwa pointi mbili Arsenal ambao walimaliza mwaka uliopita wakiwa kileleni kwa pointi 42. 

Lakini Man City inaweza kusherehekea nafasi hiyo kwa muda mfupi kama Arsenal watashinda mchezo wao dhidi ya Cardiff City unaochezwa kwenye Uwanja wa Emirates.

Mabao ya Man City yalifungwa na Fernandinho dakika ya 14, Yaya Toure dakika ya 58 na Aleksandar kolarov dakika ya 66 wakati mabao ya Wilfried Bony dakika ya 45 na 90.



Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments