Open top menu
Jumatano, 1 Januari 2014

MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini, Fareed Kubanda ‘Fid Q’ amewagomea Madj wa Clouds na kuacha kuimba na kushusha jukwaani baada ya madj kushindwa kumpigia ala za muziki ‘beat’ na badala yake kupiga wimbo kamili.

Fid Q alionyesha ukomavu leo katika tamasha ya kusherehekea miaka 14 ya kituo cha redio cha Clouds baada ya kumwambia Dj Zero kupiga beat ya wimbo wake lakini dja huyo hakufanya hivyo na badala yake akaweka mic chini ya kushuka jukwaani.


Wasanii wote waliopanda katika tamasha hilo lililoandaliwa na Clouds redio walikuwa wakiimba nyimboa zao kamili kwa kurudia maneno yao yaliyorekodiwa kitu ambacho kilikuwa tofauti kwa Fid Q.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments