Open top menu
Alhamisi, 23 Januari 2014

KLABU ya Chelsea inaweza kuharibu mipango ya Liverpool ya kumsajili winga wa FC Basel, Mohamed Salah baada ya kuweka mezani dau ya pauni 11 milioni ambazo ni zaidi ya kiasi kilichotengwa na Majogoo wa Anfield.

FC Basel walikuwa tayari kumuuza nyota huyo wenye umri wa miaka 21, kwa dau la pauni 10 milioni lakini Liverpool walikuwa tayari kutoa pauni 7 milioni.

Jose Mourinho amevutiwa na mchezaji huyo ambaye aliwafunga katika michezo yote miwili waliokutana katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya makundi.


Pamoja na Salah kunukuliwa aakisema kuwa atafurahi zaidi kisaini kuichezea Liverpool lakini dau kubwa la Chelsea linaweza kuharibu mipango hiyo.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments