Open top menu
Alhamisi, 23 Januari 2014

KLABU ya Manchester United imemtoa kwa mkopo mshambuliaji wake kinda, Wilfried Zaha kwa timu ya Cardiff City ili apate muda mwingi wa kucheza.

Kinda huyo ambaye hakuwa na mahusaino mazuri na Kocha wake, David Moyes alionekana katika picha akiwasili kwenye hospitali ya Bridgewater iliyoko katika mji wa Manchester kwa lengo la kupima afya kabla ya kumalisha usajili huo wa mkopo.


Vyanzo vya karibu na mshambuliaji huyo walisema kuwa mpango huo unatarajiwa kukamilika haraka iwezekanavyo ili kutoa nafasi kwake kuongeza uwezo kabloa ya kurejea tena mikononi mwa Moyes.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments