Open top menu
Alhamisi, 23 Januari 2014

WINGA wa klabu ya Chelsea, Eden Hazard ameikataa ofa ya Paris Saint-Germain ‘PSG’ ya Ufaransa na badala yake ameweka kuwa ataendelea kuitumikia klabu yake.

Hazard ametajwa kuwa ni mmoja wa wachezaji wanaotakiwa na klabu ya PSG katika usajili wa dirisha dogo lakini nyota huyo amefunguka na kusema kuwa hayuko tayari kwa sasa kuihama Chelsea.

Mshambuliaji huyo wa Ubelgiji anasema Chelsea ndiyo sehemu sahihi kwake kwa sasa kwani uwepo wake klabuni hapo kunampa nafasi zaidi ya kujiendeleza kisoka.


Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments