Open top menu
Jumanne, 19 Novemba 2013

BAADA ya kumsimaisha mwenyekiti Ismail Aden Rage,kamati ya utendaji ya Simba imelivunja benchi la ufundi lililokuwa chini ya kocha Abdallah king Kibaden na msaidizi wake Jamhuri Kihwelo Julio.

Kamati hiyo ya utendaji imefikia maamuzi hayo katika kikao cha jana ambacho pia kilikubaliana kumsimamisha mwenyekiti wao Rage mpaka mkutano mkuu wa wanachama utakapofanyika ambako anatakiwa kujieleza mbele ya wanachama.

Nafasi ya Kibaden na Julio sasa inachukuliwa na kocha wa zamani wa Gor Mahia ya Kenya Zdravko Logaruzic raia wa Croatia ambaye atasaidiwa na Suleiman Matola aliyekuwa kocha wa Simba B.


Tokea mzunguko wa kwanza umemalizika mabosi wa Simba hawakuridhika na mwenendo wa timu yao na kikao cha jana kikafikia maamuzi hayo magumu.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments