Open top menu
Jumamosi, 30 Novemba 2013

NDANI ya Simba sasa kumewaka moto kutokana na Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo pamoja na wanachama ambao hawana imani na Mwenyekiti wao, Ismail Aden Rage hali iliyopeleka kutaka kumpindua mara mbili ndani ya mwaka huu.

Moja katika madai ambayo yanamtia matatani Rage ni kuuzwa kwa mshambuliaji wao, Emmanuel Okwi kwa Etoile du Sahel ya Tunisia kwani hadi sasa fedha za kuuzwa mwanandinga huyo imekuwa ni kitendawili.

Pichani Rage anaonekana akipiga picha akipena mikono na mmoja wa viongozi wa Etoile du Sahel mara baada ya kumalizana biashara ya kuumza mshambuliaji huyo.



  
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments