Open top menu
Jumamosi, 30 Novemba 2013

Joseph Marius Omog baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa JNIA kwa kazi ya kuifundisha Azam FC

KOCHA mpya wa timu ya Azam FC, Joseph Marius Omog amewasilia leo asubuhi tayari kwa kuifundisha timu hiyo katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho.

Kocha huyo raia wa Cameroon ambaye alikuwa akiifundisha timu ya AC Leopards ya Congo Brazzavile amewasili leo asubuhi akitokea kwao tayari kabisa kwa kuanza kibarua chake.

Kocha huyo mwenye mafanikio makubwa barani Afrika amekuja kuchukua nafasi ya Stewart Hall ambaye ametupiwa virago mara tu baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments