Open top menu
Jumamosi, 31 Agosti 2013


Nyota ya bondia wa Tanzania, Francis Cheka imezidi kung’ara baada ya kumtwanga kwa pointi bondia kutoka Marekani, Phill Williams katika mpambano wa raundi 12 wa kuwania mkanda wa dundia wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani (WBO).

Cheka ambaye alionekana kutawala mpambano huo toka raundi ya kwanza alifalifanikiwa kumwangusha mpinzani wake lakini aliendelea na kumaliza hadi raundi ya mwisho.

Bondia huyo ambaye hana mpinzani hapa nchini amekabidhiwa mkanda wake WBO.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments