Open top menu
Ijumaa, 30 Agosti 2013


Tasnia ya ngumi nchini Tanzania jana iliingia aibu mbele ya bondia mkongwe Francois Botha kutoka Marekani, baada ya bondia Mada Maugo kutoka kupanda jukwaani kupambana na Fransic Mashali kwa zaidi ya nusu saa.

Maugo aligoma kupanda ulingoni kwa madai kuwa hajalipwa fedha zake kwa ajili ya mpambano huo wa raundi 10 wa kuwania mkanda wa Afrika wa uzito wa feather dhidi ya Mashali.

Pambano hilo ambalo lilikuwa la utangulizi kabla ya lile ya Fransic Cheka wa Tanzania na William wa Marekani, lilisubiri kwa muda kutokana na kisanga hicho hadi pale bondia wa zamani wa uzito wa juu, Botha kuingilia kati na kumwomba Maugo apande ulingoni na atamlipa yeye fedha zake.

Endelea kubaki ndani ya nyumba ili uendelee kupata kinachojiri huko Diamond
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments