Open top menu
Ijumaa, 30 Agosti 2013


Pamoja na bondia Mada Maugo kugoma kupanda ulingoni kwa muda lakini hakuepuka kipigo kutoka kwa mpinzani wake, Thomas Mashali baada ya kutwangwa kwa pointi.

Mpambano huo ambao ilikuwa wa raundi 10 kuwania mkanda wa Afrika  wa uzito wa feather ulikuwa na ushindani katika raundi zote lakini hadi kufika mwisho wa mpambano huo, Mashali ameibuka kidedea kwa pointi.

Mashali amekabidhiwa mkanda na bondia wa zamani wa uzito wa juu wa Marekani, Francois Botha hivyo kutawazwa rasmi kuwa bingwa wa mkanda huo.

Usitoke nyumbani endelea kupata kinachojili katika mapambano kati ya Francis Cheka na William kutoka Marekani.
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments