Wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Izzo Business na
Barnaba wakitumbuiza kwenye tamasha la Kili Music Tour lililofanyika juzi
kwenye Ukumbi wa New Mbeya City Mjini Mbeya.
Msanii wa Hip Hop nchini Farid Kubanda akitoa burudani
kwenye tamasha la Kili Music Tour.
Profesa Jay naye hakuwa nyuma katika kuzikonga nyoyo za mashabiki waliojitokeza katika tamasha la Kili Muzic Tour.
Snura akifanya vitu vyake kwenye tamasha la Kili Music
Tour.
Umati wa mashabiki wa muziki nchini uliojitokeza kushuhudia
tamasha hilo lililofanyka kwenye Ukumbi wa New Mbeya City Mjini Mbeya.
Msanii wa muziki wa asili mkoani Mbeya, Awilo akiwa jukwaani kutoa burudani katika tamasha la Kili
Music Tour.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba Elius
‘Barnaba’ akitumbiza kwenye tamasha hilo.
Mkali wa R&B Tanzania, Ben Paul
akiwaburudisha mashabiki kwenye tamasha la Kili Music Tour.
0 comments