Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete akishangilia
Dakika ya 11, Jerryson Tegete anaiandikia Yanga bao
la kwanza dhidi ya Ashanti United. Endelea kufuatilia mpambano wa Ligi Kuu kati ya Yanga na Ashanti
upate mengi juu ya Ligi Kuu ya Bara.
Ligi Kuu Tanzania Baraimeanza leo katika viwanja
saba vya Tanzania, ambapo mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu. Simba, wako mkoani
Tabora kumenyana na Rhoino Rangers ya huko, na hadi sasa matokeo bado ni
suluhu. Endelea kufuatrilia Nyumba ya Michezo na Burudani kwa matokeo zaidi.
0 comments