Open top menu
Alhamisi, 26 Septemba 2013


BONDIA wa Ngumi za Kulipwa nchini, Karama Nyilawila anatarajia kuvunja ukimya wa muda mrefu kwa kupanda ulingoni Oktoba 20 jijini Dar es Salaam kuvaana na Sado Philimon.

Nyilawila ambaye aliwahi kuwa bingwa wa mkanda wa WBF uzito wa middle baada ya kumpiga bondia wa Jamhuri ya Czech, Kreshnik Qato lakini alishindwa kuutetea mkanda huo hivyo kupotea katika medani ya masumbwi kwa kukosa mapromota.

Nyilawila anatarajia kuvaana na Sado katika ukumbi wa CCM Mwinjuma, Mwananyamala mpambano ulioandaliwa na Bigright Promotion chini ya Ibrahim Kamwe.

Kamwe aliiambia Nyumba ya Michezo na Burudani, maandalizi ya mapambano huo yanakwenda vizuri na wanatarajia kutakuwa na ushindani mkubwa kutokana na maamndalizi ya mabondia hao.

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments