Wachezaji wa Manchester United wakiwa hoi baada ya kumalizika kwa mchezo huo
Katika mchezo huo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa mabao ya Manchester City yalifungwa na Aguero dakika ya 16 na 47 Yaya Toure dakika ya 45 na  Samir Nasri dakika ya 50 wakati bao la Manchester United lilifungwa na Wayne Rooney dakika ya 87.
 Yaya Toure wakiweka chini ya ulinzi na Marouane Fellaini na Wayne Rooney
 Wayne Rooney akijaribu kujitoa kwenye msitu wa wachezaji wa Manchester City
 Moja ya heka heka ya langoni mwa Manchester City
 Wayne Rooney, Marouane Fellaini  na Da Gea wakitoka uwanjani wasiamini kile kilichotokea 
 Aguero akishangilia na wachezaji wenzake moja ya mabao yake katika mchezo huo
 Patashika katika mchezo wa Arsenal na Stoke City 
 Ozil akimtoka beki wa Stoke City
MATOKEO KAMILI LIGI KUU ENGLAND JANA
MANCHESTER CITY 4 - 1 MANCHESTER UNITED
CARDIFF CITY 0 - 1 TOTTENHAM HOTSPUR
CRYSTAL PALACE 0 - 2 SWANSEA CITY
ARSENAL 3 - 1 STOKE CITY
.png)
 By 
09:36








0 comments