Open top menu
Jumatatu, 23 Septemba 2013

 Young Killer akipagawisha jukwaani
 Shilole akifanya vitu vyake kwa wakati za Shinyanga
 Nicki Mbishi sambamba na Joh Makini wakiwakilisha vilivyo
 Juma Nature kama kawaida alifanya mamboz
 Ney wa Mitego akiwashambulia jukwaa
 Neylee naye hakuwa nyuma
 Rais wa Manzese, Madee akishika kinasa kuwaimbisha mashabiki wake
 Linnah akikonga nyoyo za mashabiki wa Fiesta Shinyanga
 Jitamaniakifanya yake jukwaani
 Linnah kazini
 Juma Nature na Mabaga Fresh wakishambulia jukwaa
 Rich Mavoko akiwapa radha mashabiki wake
 Sehemu wa mashabiki waliohudhuria tamasha hilo
 Shilole akimpagawisha mmoja wa mashabiki wake
Mashabiki nao hawakuwa nyuma kucheza muziki uliokuwa ukiporomosha na wasanii
Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments