Open top menu
Jumapili, 13 Oktoba 2013


TIMU ya Azam FC imerudi katika nafasi yake ya pili baada ya kuinyuka JKT Ruvu mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Chamanzi, jijini Dar es Salaam.

Kwa matokeo hayo Azam wamefikisha pointi 17 na kupanda hadi nafasi ya pili wakiwa na tofauti na pointi moja na vinara wa ligi hiyo, Simba wenye pointi 18 wakifuatiwa na Yanga wenye pointi 15 katika nafasi ya tatu.

Mabao ya Azam yalifungwa na Humphrey Mieno, Erasto Nyoni na bao la tatu lilifungwa na Salum Aboubakar.

Katika michezo mingine iliyochezwa leo kwenye viwanja vingine vitatu ni kama ifuatavyo.

MTIBWA SUGAR 5-1 JKT OLJORO
RUVU SHOOTING 1-0 RHINO RANGERS
MGAMBO SHOOTING 0-1 MBEYA CITY
  

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments