Open top menu
Alhamisi, 24 Oktoba 2013

LIGI ya Mabingwa Ulaya hatua ya makundi iliendelea tena jana katika viwanja nane tofauti kuwania nafasi ya kutinga katika hatua ya 16 bora ya michuano hiyo.

Katika michezo hiyo timu za Bayern Munich na PSG walivuna ushindi wa mnene wa mabao 5-0 wakati Manchester United walishinda bao 1-0 dhidi ya Real Sociedad huku Real Madrid waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Juventus.

Hapa chini ni matokeo ya michezo yote ya jana

Galatasaray                   3 - 1  FC Kbenhavn
Leverkusen                   4 - 0  Shakhtar Donetsk
Benfica                         1 - 1  Olympiakos
Bayern Mnchen           5 - 0  Viktoria Plzen
Manchester United      1 - 0  Real Sociedad
RSC Anderlecht           0 - 5  Paris Saint Germain
Real Madrid                 2 - 1  Juventus

CSKA Moscow            1 - 2  Manchester City

 Wachezaji wa Manchester City wakishangiliwa moja ya bao la Arguero
  Mshambuliaji wa Real Madrid akishangilia moja ya bao lake alilofungwa katika mchezo dhidi ya Juventus jana
 Mshambuliaji wa Galatasaray, Didier Drogba akishangilia bao lake alilofungwa katika mchezo wa jana
 Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao lake alilofungwa katika mchezo wa jana
 Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akimtoka kipa wa Juventus na kufunga bao la kwanza katika mchezo wa jana
 Wachezaji wa Manchester United wakishangilia bao la kujifunga la Real Sociedad katika mchezo wa jana

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments